1999
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 1995 | 1996 | 1997 | 1998 | 1999 | 2000 | 2001 | 2002 | 2003 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1999 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
- 31 Desemba - Eneo la mfereji wa Panama limerudishwa kwa serikali ya Panama kutoka kwa utawala wa Marekani
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 1999 MCMXCIX |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5759 – 5760 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1991 – 1992 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1448 ԹՎ ՌՆԽԸ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1420 – 1421 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1377 – 1378 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2054 – 2055 |
| - Shaka Samvat | 1921 – 1922 |
| - Kali Yuga | 5100 – 5101 |
| Kalenda ya Kichina | 4695 – 4696 戊寅 – 己卯 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 15 Februari - Henry Kendall, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1990
- 21 Februari - Gertrude Elion, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1988
- 25 Februari - Glenn Seaborg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1951
- 3 Machi - Gerhard Herzberg, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1971
- 7 Machi - Stanley Kubrick, mwongozaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Aprili - Arthur Schawlow, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1981
- 22 Mei - Abdallah Rashid Sembe, mwanasiasa wa Tanzania
- 26 Julai – Jackson Bate, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1964
- 14 Oktoba - Mwalimu Julius Nyerere, Rais wa Tanganyika (1962-1964]], rais wa kwanza (1964-1985) na "Baba wa Taifa" wa Tanzania
- 16 Novemba - Daniel Nathans, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1978
- 17 Desemba – Comer Vann Woodward, mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1982
- 27 Desemba - Horst Matthai Quelle, mwanafalsafa kutoka Ujerumani
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: