1992
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 19 | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1960 | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 1988 | 1989 | 1990 | 1991 | 1992 | 1993 | 1994 | 1995 | 1996 | ► | ►►
Makala hii inahusu mwaka 1992 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 1992 MCMXCII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5752 – 5753 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1984 – 1985 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1441 ԹՎ ՌՆԽԱ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1413 – 1414 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1370 – 1371 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2047 – 2048 |
| - Shaka Samvat | 1914 – 1915 |
| - Kali Yuga | 5093 – 5094 |
| Kalenda ya Kichina | 4688 – 4689 辛未 – 壬申 |
- 1 Januari - Jack Wilshere, mchezaji mpira kutoka Uingereza
- 7 Januari - Mbwana Samatta, mchezaji wa mpira kutoka Tanzania
- 11 Februari - Taylor Lautner, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 22 Julai - Selena Gomez, mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 20 Agosti - Demi Lovato, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 10 Februari – Alex Haley, mwandishi wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1977
- 8 Aprili - Daniel Bovet, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1957
- 10 Aprili - Peter Mitchell, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1978
- 6 Mei - Marlene Dietrich, mwigizaji filamu na mwimbaji kutoka Ujerumani
- 21 Juni - Joan Fuster, mwandishi wa Kikatalani kutoka Hispania
- 12 Julai - Caroline Pafford Miller, mwandishi kutoka Marekani
- 18 Agosti - John Sturges, mwongozaji filamu wa Marekani
- 2 Septemba - Barbara McClintock, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1983
- 8 Oktoba - Willy Brandt, Chansela wa Ujerumani (1969-1974)
- 15 Desemba - Sven Delblanc, mwandishi kutoka Uswidi
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: