2007
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1970 | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 2003 | 2004 | 2005 | 2006 | 2007 | 2008 | 2009 | 2010 | 2011 | ► | ►►
Jan. | Feb. | Mac. | Apr. | Mei | Jun. | Jul. | Ago. | Sep. | Okt. | Nov. | Des.
Makala hii inahusu mwaka 2007 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 2007 MMVII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5767 – 5768 |
| Kalenda ya Ethiopia | 1999 – 2000 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1456 ԹՎ ՌՆԾԶ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1428 – 1429 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1385 – 1386 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2062 – 2063 |
| - Shaka Samvat | 1929 – 1930 |
| - Kali Yuga | 5108 – 5109 |
| Kalenda ya Kichina | 4703 – 4704 丙戌 – 丁亥 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 4 Januari - Juma Jamaldin Akukweti, mwanasiasa wa Tanzania
- 17 Januari - Alice Lakwena wa Uganda
- 7 Februari - Alan MacDiarmid, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 2000
- 27 Machi - Paul Lauterbur, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2003
- 23 Aprili - Boris Yeltsin, Rais wa Urusi (1991-1999)
- 8 Mei - Abdullah_bin_Faisal_Al_Saud, mwana wa Mfalme wa Saudia
- 18 Mei - Pierre de Gennes (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia, mwaka wa 1991)
- 30 Mei - William Meredith, mshairi kutoka Marekani
- 9 Juni - Achieng Oneko, mwanasiasa wa Kenya
- 26 Juni - Amina Chifupa, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Julai - Ernst Otto Fischer, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1973
- 30 Julai - Ingmar Bergman, mwongozaji wa filamu kutoka Uswidi
- 16 Agosti - Max Roach, mwanamuziki kutoka Marekani
- 8 Septemba - Shenazi Salum, mwigizaji wa filamu kutoka Tanzania
- 18 Oktoba - Lucky Dube, mwanamuziki kutoka Afrika Kusini
- 24 Oktoba - Salome Joseph Mbatia, mwanasiasa wa kike kutoka Tanzania
- 3 Novemba - Suzanne Bachelard, mwanafalsafa wa Ufaransa
- 10 Novemba - Norman Mailer, mwandishi kutoka Marekani
- 1 Desemba - Elisabeth Eybers, mwandishi wa Afrika Kusini
- 16 Desemba - Benedict Kiroya Losurutia, mwanasiasa wa Tanzania
- 23 Desemba - Oscar Peterson, mwanamuziki kutoka Kanada
- 27 Desemba - Benazir Bhutto, mwanasiasa kutoka Pakistan aliuawa
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: