millard ayoಪರಿಶೀಲಿಸಿದ ಖಾತೆ

@millardayo

On air personality | Clouds FM Tanzania East Africa | weekdays 7pm | blogger | YouTUBE Snapchat Instagram |

Dar es Salaam, Tanzania
ಏಪ್ರಿಲ್ 2010 ಸಮಯದಲ್ಲಿ ಸೇರಿದ್ದಾರೆ

ಟ್ವೀಟ್‌ಗಳು

ನೀವು @millardayo ಅವರನ್ನು ತಡೆಹಿಡಿದಿರುವಿರಿ

ಈ ಟ್ವೀಟ್‌ಗಳನ್ನು ವೀಕ್ಷಿಸಲು ನೀವು ಖಚಿತವಾಗಿ ಬಯಸುವಿರಾ? ಟ್ವೀಟ್ ವೀಕ್ಷಣೆಯು @millardayo ಅವರ ತಡೆತೆರವುಗೊಳಿಸುವುದಿಲ್ಲ

  1. ಪಿನ್ ಮಾಡಿದ ಟ್ವೀಟ್
    ಜುಲೈ 17

    Mbunge Gulamali akiwa na Mwigizaji wa Filamu za Kihindi Sunjay Datti aliyekuja Tanzania kutalii mbugani.

  2. 27 ನಿಮಿಷಗಳ ಹಿಂದೆ

    Mwimbaji Chester Bennington wa Linkin Park amefariki dunia nyumbani kwake baada ya kujinyonga alikuwa mwathirika wa dawa za kulevya na pombe

  3. 1 ಗಂಟೆ ಹಿಂದೆ

    Jamaa aliyedai kutapeliwa na Beka wa Yamoto, alikuwa akiwasiliana na aliyejiita Beka na alimtumia pesa zinazofikia mil 8.9

  4. 1 ಗಂಟೆ ಹಿಂದೆ

    Itarajie hii nyingine International Collabo ya rapa Joh Makini akiwa na staa mwimbaji Davido kutoka Nigeria muda wowote.

    , , ಮತ್ತು 3 ಇತರರು
  5. 1 ಗಂಟೆ ಹಿಂದೆ

    Wakili Kibatala asema kama wamemkamata Lissu, waliomkamata wakamilishe taratibu zao wampeleke mahakamani ili wakutane huko

  6. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Beka wa Yamoto Band ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na polisi kwa saa 9, anatuhumiwa kutapeli kupitia facebook

  7. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    'Siwezi kusema wimbo wa "Eneka" ni copy ya wimbo "fall" wa Davido bali ni muziki fulani wenye jamii ambayo inafanana-Lizer

  8. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    'Waziri wa Mambo ya Ndani simamisha kuanzia leo hakuna kutoa uraia kwa wakimbizi wote wanaokimbia kuja huku'- Rais Magufuli

  9. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Rais Trump amesema anajutia kumteua Jeff Sessions kuwa mwanasheria mkuu, ni baada ya kujiondoa kwenye uchunguzi dhidi ya udukuzi wa Urusi

  10. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Wakili Kibatala amesema Lowassa ameripoti ofisi ya DCI ameambiwa uchunguzi bado unaendelea baada ya wiki tatu atataarifiwa

  11. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    "Dereva ukifanya kosa tutapunguza point kwenye leseni, kuna madereva ambao watajikuta leseni zao tumezifungia"-Musilimu

  12. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Mahakama ya rufaa nchini Kenya imesema Tume ya Uchaguzi inaweza kuendelea kuchapisha karatasi za kupigia kura zitakazotumika August 8, 2017

  13. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Kiongozi wa upinzani Zambia aliyekamatwa kwa kukataa kupisha msafara wa Rais afikisha siku 100 jela.

  14. 2 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    TRA Arusha imevifungia viwanda vitano vinavyozalisha pombe kali kwa sababu vimekiuka sheria za ulipaji kodi

  15. 3 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Kiongozi wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema leo July 20, 2017 amefikisha siku 100 jela baada ya kushtakiwa kwa makosa ya uhaini.

  16. 3 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    "Nashangaa mitandao ya TZ imekuwa ikinichafua mpaka najiuliza nimewafanyia nini, mbona mazuri hawatangazi'-Mr Nice

  17. 3 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Rais wa TLS, Tundu Lissu MB CHADEMA amekamatwa na polisi akiwa Airport JNIA, alikuwa anakwenda kwenye mkutano wa mawakili Rwanda.

  18. 4 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Rais Pierre Nkurunziza amemaliza ziara Rasmi ya Kiserikali ya siku 1 kwa mwaliko wa Rais Magufuli leo, tayari amerejea nchini kwake Burundi.

  19. 4 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    Mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea amesema amepata fursa ya kuona hali za watu waliokamatwa na atazungumza alichokiona huko kwa niaba yao.

  20. 4 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    'Tunapomkamata dereva kupitia mfumo huu tunapunguza alama za ubora kwenye leseni yake kila anapofanya makosa barabarani- Fortunatus Musilimu

  21. 5 ಗಂಟೆಗಳ ಹಿಂದೆ

    'Kwa dereva anayekamatwa amefanya makosa anategemea tumpe elimu barabarani hiyo hatutafanya'-Kamishna usalama barabarani Fortunatus Musilimu

ಲೋಡಿಂಗ್ ಸಮಯ ಸ್ವಲ್ಪ ತೆಗೆದುಕೊಳ್ಳುತ್ತಿರುವಂತೆನಿಸುತ್ತದೆ.

Twitter ಸಾಮರ್ಥ್ಯ ಮೀರಿರಬಹುದು ಅಥವಾ ಕ್ಷಣಿಕವಾದ ತೊಂದರೆಯನ್ನು ಅನುಭವಿಸುತ್ತಿರಬಹುದು. ಮತ್ತೆ ಪ್ರಯತ್ನಿಸಿ ಅಥವಾ ಹೆಚ್ಚಿನ ಮಾಹಿತಿಗೆ Twitter ಸ್ಥಿತಿಗೆ ಭೇಟಿ ನೀಡಿ.

    ಇದನ್ನೂ ಸಹ ನೀವು ಇಷ್ಟಪಡಬಹುದು

    ·