Twitter | Cerca | |
Dr John Magufuli
The Fifth President of The United Republic of Tanzania.
140
Tuits
5
Seguint
149.172
Seguidors
Tuits
Dr John Magufuli 29 juny
Ugunduzi huu utuelekeze kujipanga hasa ktk eneo la mikataba yetu ili rasilimali hii adimu isaidie kuujenga uchumi wetu 2/2
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 29 juny
Tunamshukuru Mungu Tanzania tumegundua gesi aina ya Helium(He),wito wangu kwa wachumi,wanasheria na watanzania wote kwa ujumla tujipange1/2
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 6 juny
Ndugu zangu Waislamu tunaanza mwezi mtukufu wa Ramadhani ktk kutekeleza moja ya nguzo kuu za Uislamu,nawatakia Waislamu wote mfungo mwema.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 19 març
Kesho ni siku yakupiga kura kwa ndg zetu wa Zanzibari, ninawatakia uchanguzi mwema na wenye amani na utulivu. Mungu ibariki Tanzania.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 1 març
Natuma salaam zangu za pole kwa Rais Mstaafu Mh.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kufuatia kifo cha kaka yake Mzee Selemani Mrisho Kikwete.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 25 des.
I wish you a blessed holiday season. May this Christmas bring you comfort, joy, peace and happiness to last throughout the coming year!
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 9 des.
Tumeshiriki kwa wingi wetu siku hii muhimu kwa kufanya kazi ktk maeneo mbalimbali. Uhuru na Kazi, Hapa Kazi Tu. Mungu Ibariki Tanzania.2/2.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 9 des.
Watanzania wenzangu ninawapongeza kujumuika nami kwa kuadhimisha siku ya Uhuru na Jamhuri.Nimefurahi na nimeguswa sana mlivyojitokeza.1/2.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 9 nov.
Napenda kutuma salaam zangu za pole kwa Dr Helen Kijo-Bisimba kwa ajali ya gari na kikubwa namuombea kwa Mwenyezi Mungu apone haraka.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 6 nov.
Watanzania wenzangu, leo siku yangu ya kwanza Ofsini kama Rais wenu, nawaomba kwa pamoja tulijenge taifa letu,tofauti zetu tuziweke pembeni.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 3 nov.
Tumushukuru Mungu, tumepata ugeni wa Nabii TB Joshua, atashiriki nasi ktk sherehe nitakapoapishwa kuwa Rais wa awamu ya Tano wa Tanzania.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli ha retuitat
Narendra Modi 29 oct.
Congratulations to President-elect of Tanzania Dr John P Magufuli on his election victory today. Also, a very happy birthday to him.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 30 oct.
Nawashukuru watanzania kwa upendo mliouonyesha kwangu,wakati wa kampeni na kwa kura mulizonipa zimeniwezesha kuwa Rais,Mungu awabariki sana.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli ha retuitat
Chama Cha Mapinduzi 29 oct.
Our next Commander-in-Chief, Dr John Pombe Magufuli, the President-elect of The United Republic of Tanzania.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 29 oct.
Siku hii ni kubwa na muhimu ktk maisha yangu, sherehe yangu ya kuzaliwa na nimepata ridhaa ya kuwaongoza watanzania ktk nafasi ya RAIS.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli 29 oct.
Namshukuru Mwenyezi Mungu kunifikisha siku hii adhimu ya leo siku yangu ya kuzaliwa. Ombi langu,tuilinde Amani yetu. MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli ha retuitat
Chama Cha Mapinduzi 26 oct.
Tunawaomba wana-CCM watulie, wasiwe na hofu, wawe na subira hadi Tume imalize kazi yake.
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli ha retuitat
Chama Cha Mapinduzi 25 oct.
Uchaguzi ni siku 1. Tanzania ipo siku zote. Tutunze amani na tumtangulize Mungu. Yeye anajua yote. - Dkt
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli ha retuitat
Chama Cha Mapinduzi 25 oct.
Tumshukuru Mungu tumeifikia siku hii. Nimetimiza wajibu wangu, sote tupige kura, demokrasia iamue. - Dkt
Reply Retweet M'agrada
Dr John Magufuli ha retuitat
Chama Cha Mapinduzi 25 oct.
Dkt atapiga kura katika kituo cha Shule ya Msingi Magufuli, kijiji cha Rubambangwe, kata ya Muungano, jimbo la Chato.
Reply Retweet M'agrada