Twitter | Hanapin | |
Umoja wa Mataifa
Akaunti rasmi ya Kiswahili. Pata taarifa za hivi karibuni kuhusu UM. Tufuate kwenye Instagram: um_kiswahili.
22,372
Mga Tweet
226
Sinusundan
3,904
Mga Tagasunod
Mga Tweet
Umoja wa Mataifa 1 oras
Tunahitaji kuziba pengo la jinsia katika operesheni za . Tukikaribia Siku ya Walinda Amani wa Mei 29, fahamu jukumu muhimu la wanawake katika ujenzi wa amani:
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 3 oras
Ni asilimia ngapi ya wasichana barubaru hufahamu mabadiliko ambayo miili yao itapitia?, ⤵ Ni wakati wa kuvunja ukimya!
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 5 oras
Mkutano wa Kimataifa wa Kazi wa mwaka huu umeanza leo (Mei 28 - Juni 8). Fuata na kwa taarifa mbashara:
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 7 oras
. yashikilia kiti cha uenyekiti wa Baraza la Usalama kwa mwezi Juni. Kwa maelezo zaidi hapa :
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 9 na oras
Tukielekea Siku ya Walinda Amani Mei 29, anawashukuru kwa mchango na kujitoa kwao & kutoa heshima kwa wale waliopoteza maisha kwa ajili ya amani. 👇Fahamu zaidi kuhusu kazi zao: http: // ... # PK70
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 11 oras
Kinachoendelea wiki hii kwenye : Kamati ya Haki za Mtoto, Kikao cha 78 (14 Mei - 1 Juni):
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 13 oras
Nini kinaendelea wiki hii hapa kwenye Umoja wa Mataifa? Miaka 70 ya , Siku ya Walinda Amani atembelea Mali, Siku ya Duniani & zaidi. Orodha ya matukio:
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 13 oras
Jumatatu Siku ya Hedhi Duniani, ungana na kupaza sauti na kuunga mkono kwa kuthibitisha kwamba hedhi si suala la ajabu bali la kimaumbile na hivyo .
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 17 oras
Huduma ya afya kwa wote yaweza kuzuia watu milioni 100 kutumbukia katika umasikini uliokithiri kutokana na gharama kubwa za matibabu. Hakuna mtu anaestahiki kuteseka na hilo kwa sababu anaumwa.
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa 18 oras
Tangu 1948, wanawake na wanaume walinda amani zaidi ya milioni 1 wametumikia na kuokoa maisha yasiyo hesabika. Kati yao 3700 wamelipa kilipo cha kupoteza maisha yao. Tukielekea siku ya walinda amani Mei 29, nawashukuru kwa mchango wao na kujitoa kwao mhanga.
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 27
Kutoka 1960 hadi 2002, maeneo 54 yalipata uhuru. Kwa sasa, kuna maeneo 17 yasiyo jitawala duniani. Msaada wa kimaadili na wa vifaa kwa watu wa maeneo haya wahitajika:
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 27
Je! wawezaje leo kutoa mchango wako katika ulinzi wa mazingira?. Kutumia usafiri wa baisikeli ni moja ya hatua ambayo unaweza kuchukua ili kuboresha mazingira katika jiji lako:
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 27
Juhudi dhidi ya Ebola zijumuishe watoto-
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 27
Kuelekea Mkuu wa aungana na wanaharakati wa mazingira jijini , India ktk operesheni ya kwanza kubwa zaidi kuwahi kufanyika kusafisha pwani ya
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 27
Hatupo mbali na hitilafu moja ya kimtambo, kielektroniki au ya kibinadamu ambayo yaweza kufuta miji katika ramani ya dunia. - Katibu Mkuu wa UN Ajenda yangu mpya ya udhibiti wa silaha itaokoa mwanadamu, maisha na vizazi vijavyo.
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 26
"Tutangaze kwa sauti moja: Hatutaweza kuvumilia mtu yeyote anaefanya au kuidhinisha unyanyasaji na ukatili wa kingono chini ya bendera ya Umoja wa Mataifa. "
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 26
lakunja jamvi na malengo mapya "Bilioni 3" hadi 2023 : ▫Bilioni 1+ watafaidika na huduma za afya kwa wote. ▫Bilioni 1 watalindwa dhidi ya dharura za kiafya ▫Bilioni 1 watafurahia afya na ustawi bora. Fahamu zaidi:
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 26
"Kila afisa wa mahakama ktk kila ngazi anahitaji mafunzo kuhusu hususan ktk uhuru wa kujieleza, ni muhimu kutafsiri sheria ndani ya mtazamo wa haki za binadamu". Jaji Lillian Tibatemwa-Ekirikubinza kutoka ktk mahojiano na :
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 26
* Idadi ya kimataifa ya watu walio ajiriwa na posta. * Upana wa huduma za posta. Utafiti mpya wa unaonyesha mchango ya sekta ya posta katika lengo la 8 la "Kazi zenye Staha na Ukuaji Uchumi". Fahamu zaidi kuhusu ripoti:
Reply Retweet Gustuhin
Umoja wa Mataifa May 26
Wanawake walinda amani wanafanya kazi sawa, kwa viwango sawa & katika mazingira magumu sawa na wanaume. Zaidi kuhusu wanawake walinda amani hapa:
Reply Retweet Gustuhin