2012
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ | Karne ya 20 | Karne ya 21
◄ | Miaka ya 1980 | Miaka ya 1990 | Miaka ya 2000 | Miaka ya 2010
◄◄ | ◄ | 2008 | 2009 | 2010 | 2011 | 2012 | 2013 | 2014 | 2015 | 2016 | ► | ►►
Jan. | Feb. | Mac. | Apr. | Mei | Jun. | Jul. | Ago. | Sep. | Okt. | Nov. | Des.
Makala hii inahusu mwaka 2012 BK (Baada ya Kristo).
Matukio[hariri | hariri chanzo]
Waliozaliwa[hariri | hariri chanzo]
| Kalenda ya Gregori | 2012 MMXII |
| Kalenda ya Kiyahudi | 5772 – 5773 |
| Kalenda ya Ethiopia | 2004 – 2005 |
| Kalenda ya Kiarmenia | 1461 ԹՎ ՌՆԿԱ |
| Kalenda ya Kiislamu | 1433 – 1434 |
| Kalenda ya Kiajemi | 1390 – 1391 |
| Kalenda za Kihindu | |
| - Vikram Samvat | 2067 – 2068 |
| - Shaka Samvat | 1934 – 1935 |
| - Kali Yuga | 5113 – 5114 |
| Kalenda ya Kichina | 4708 – 4709 辛卯 – 壬辰 |
Waliofariki[hariri | hariri chanzo]
- 19 Januari - Jeremiah Solomon Sumari, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 11 Februari - Whitney Houston, mwimbaji na mwigizaji filamu kutoka Marekani
- 31 Machi - Cosmas Desmond, mwandishi wa Afrika Kusini
- 7 Aprili - Steven Kanumba, mwigizaji wa filamu kutoka Tanzania
- 25 Aprili - Paul L. Smith, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 10 Juni - George Saitoti, mwanasiasa kutoka Kenya
- 24 Julai - Sherman Hemsley, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 20 Agosti - Meles Zenawi, Waziri mkuu wa Ethiopia (1995-2012)
- 20 Agosti - Phyllis Diller, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 28 Agosti - William Pascal Kikoti, askofu Mkatoliki kutoka Tanzania
- 3 Septemba - Michael Clarke Duncan, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 14 Septemba - Louis Simpson, mshairi kutoka Marekani
- 29 Septemba - Hebe Camargo, mwimbaji na mwigizaji wa filamu kutoka Brazil
- 20 Oktoba - Donnall Thomas, daktari kutoka Marekani, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba, mwaka wa 1990
- 21 Oktoba - George McGovern, mwanasiasa kutoka Marekani
- 6 Novemba - Aloysius Balina, askofu Mkatoliki nchini Tanzania
- 6 Novemba - Clive Dunn, mwigizaji wa filamu kutoka Uingereza
- 26 Novemba - Joseph Murray, daktari kutoka Marekani, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1990
- 5 Desemba - Dave Brubeck, mwanamuziki kutoka Marekani
- 30 Desemba - Rita Levi-Montalcini, daktari kutoka Italia, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1986
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu: