Habari Kuu
Habari Mpya
6 Juni 2016
Namna Posti ya Blogu Ilivyobadilisha Maisha ya Mama wa ki-Somali Mwenye Watoto Nane
Wasomaji waguswa na habari na kuchanga zaidi ya dola za Marekani 4,000 ndani ya siku moja
7 Mei 2016
Jinsi Raia wa Mynmar Wanavyokabiliana na Kupanda kwa Joto Kunakotokana na El Niño
El Niño tayari imeshasababisha ukame katika maeneo mengi ya Myanmar. Fuatilia kujua namna wakazi wanavyokabiliana na joto kali.
6 Mei 2016
Namna Hali ya Hewa ya El Niño Inavyoathiri Maeneo ya Nyanda za Juu Nchini Myanmar
"Ziwa lililopo karibu na kijiji chetu lilikauka miezi miwili iliyopita. Mwaka uliopita, tuliweza kuchota maji katika ziwa hili hadi ilipofika mwezi Machi."
17 Aprili 2016
Sheria ya Makosa ya Mtandao Tanzania Inafanya Iwe Hatari ‘Kumtukana’ Rais Kwenye Mtandao wa Facebook

Mtumiaji wa mtandao nchini Tanzania Isaac Habakuk Emily anatuhumiwa kuchapisha ujumbe wenye utata kwenye mtandao wa Facebook 'akimtukana' rais wa Tanzania
15 Aprili 2016
Zoezi la Upigaji Kura Mtandaoni kwa Tuzo za Blogu za Kenya 2016 Laendelea
Tuzo za Blogu Kenya zinakusudia kuwatambua na kuwatuza wanablogu mahiri wa ki-Kenya.
10 Aprili 2016
Hivyo Ndivyo Afrika Ilivyo-Twiti Mwaka 2015
Naijeria, Afrika Kusini, Ethiopia, Burundi na Misri zilikuwa na mazungumzo makali zaidi ya kisiasa kwenye mtandao wa Twita.
7 Aprili 2016
Liberia Kukabidhi Elimu ya Msingi kwa Mwekezaji Binafsi wa Kimarekani
"Kuzifikiria shule kama sehemu tu ya kujifunza kusoma yaweza kuwa wazo la manufaa katika nchi ambayo watoto wake wengi hawawezi kufikia angalau hatua hiyo."
3 Aprili 2016
Raia wa Iraqi Aliyefanya Kazi ya Ufasiri kwa Jeshi la Marekani Akwama Ugiriki
Umoja wa Ulaya unajiandaa kuwarudisha maelfu ya wakimbizi nchini Uturuki. Mmoja wapo ni kijana aliyefanya kazi na Jeshi la Marekani nchini Iraq.
2 Aprili 2016
Yafanyike Mashambulizi Mangapi Dhidi ya Watalii Ili Afrika Magharibi Iandae Mkakati wa Pamoja wa Kikanda?

"Hatari haipo mbali kama tunavyoweza kufikiri. . . . Na pia, mashambulizi yana nafasi ndogo sana kuhusu amani ya ndani au uhusiano kati ya makundi...
31 Machi 2016
Yaliyojiri Wiki Hili Global Voices: Tembo Chumbani
Kwenye tukio hili tunakupeleka Somalia, Japan, China, Pakistan na Cuba.